×
RECHERHCE
×

Kifaurongo

×
  • Dans le texte
  • Bouquiner
  • Index
RECHERHCE

Budebah, Christopher Bundala

Livrel 0p.
(POETRY / General)
ISBN: 9789987085101
Diwani hi ina mashairi mseto yatakayomwezesha msomaji kujitanua bila ukinzani wa uguni na usiguni, usasa na umapokeo; hivyo azingatie fani, maudhui na muktadha. Dhana zilizodokezwa ni ukoloni mamboleo, usaliti, mila potofu, ukatili, unyanyasaji wa kijinsia, haki za mtoto, UKIMWI, rushwa, kiwi ya akili, uwajibikaji na nyinginezo.
×
  • Dans le texte
  • Bouquiner
  • Index
RECHERHCE
×

Bouquiner

Index